*Eneo la Ekari 4 linauzwa Visiga - Madafu*
*Distance* Kutoka Morogoro road mpaka kwenye eneo ni 3KM
*Location* Eneo lipo upande wa kulia ukiw unatokea Dar es Salaam
-Ndani ya eneo kuna Nyumba ya vyumba 4 vya kulala.
-Ndani mazao Miembe, Minazi na Migomba vyote vinazaa.
-Plot size Sqm 16,000
-Document: Mkataba wa mauziano ya Serikali za Mitaa
*Bei shilling milioni 150 maongezi yapo*