Are you thinking of constructing a house for yourself? Or maybe you intend to found a business such as an office or farm? In both cases, you will need to search long to find convenient and at the same time affordable land and plots for sale in Nigeria unless you know the exact place to address to. And this is undeniably Jiji.ng! There are thousands of various offers from private sellers worth your attention. Find any land type starting with a residential land and ending with a commercial one including anything in between on Jiji.ng! There are over three thousand offers in Lagos only let alone other states! And if you find the price is above your solvency, there is always a chance to negotiate! All the advertisers are private sellers and are sure to go to a compromise for you both to benefit. So, regardless the fact you plan buy or sell a land in Nigeria, Jiji.ng will become the only safe, fast and profitable means to do it. Entrust the service and find your trust highly appreciated!
Kiwanja kinauzwa mlandizi.
Km moja toka morogoro road
Ukubwa 20 kwa 20.unaweza kuunga ata viwili au vitatu vya 20 kwa 20.
Bei milioni tatu na nusu.
Kipo jirani wanapojenga majengo ya wilaya ya mlandizi
Shamba hekari saba linauzwa maeneo ya kibaha mlandizi. Kila hekari moja inauzwa shilingi milioni mbili. Shimba lipo umbali wa km 5 kutoka morogoro road.
Shamba lipo pembeni ya shule na linafaa kwa makazi, kilimo, ufugaji na v...
Mashamba mashamba!!
Property investors (pic) investors uuzaji wa mradi wake wa mashamba yaliyopo #vigwaza
vigwaza
>3km kutoka mizani mlandizi
>uelekeo wa bandari mpya ya kwila
bei ni2.5m kwa heka
lipa kidogo kidogo hadi miezi...
The land space is free of any encumbrance and is in a settled location near dar free market. it is suitable for residential use, commercial use as well as industrial use. all social services can be found nearby hence habitabl...
nice place to build a house because its in around the university of dodoma UDOM so all the services are there
someone can invest, and the plots are already measured and now people are signing their place for getting their plo...
mashamba kuanzia hekari moja mpaka 10 yanapatikana,,,dodoma karibu na chuo kikuu cha udom. kijiji cha ndwene mpakani mwa kijiji cha ng'ong'ona . karibu na hospital ya Benjamin mkapa
Swahili
#nyumbahaijakamilikainauzwa - kinyerezi makofia
▃ ▃
nyumba iko maeneo ya kinyerezi makofia, dsm.
- iko umbali wa mita 900 toka barabara ya kinyerezi - mbezi.
- nyumba imefika kwenye linta.
- nyumba ina vyumba 4 vya ku...
Viwanja vinauzwa morogoro manispaa barabara ya dodoma, ni vikubwa , sqm 900 hadi 1500 yaani mita 20 kwa 45 hadi 20 kwa 75 kwa milion 2.5 had 3.5 kutegemeana na ukubwa. vina docoment zote za kisheria, vipo karibu na shule ya...
Mradi mpya
-kigamboni-cheka
-mradi upo karibu na shule ya daarul arqam schools.
🚶♂umbali ni 1km kutoka main road.
📏viwanja vimepimwa.
-bei ni tshs 14,000 kwa square meter moja ambapo kwa square meter 270 ni 3,780,000.
-bei y...
Viwanja vyenye hati miliki vinauzwa kwa bei ya tsh 4mil kwa kila kimoja .
viwanja vinapatikana katika wilaya ya ilala eneo la mbondole.
viwanja vina ukubwa wa futi 40 kwa 50.
kwenye viwanja huduma zote za kijamii zinapatikan...
Habari! Tunakutangazia kuwa, tuna viwanja ,vinauzwa. Vimepimwa.✓ vipo nguvu kazi, kata ya kihonda manispaa ya morogoro. Ni ukubwa wa sqm.800 (20 kwa 40).✓ kutoka dodoma road ni km 1. ✓jirani na hospital ya wilaya .✓umeme upo...
1- plot located at kasera- a, mkinga. on sale at giving away price. (offer)
2- only 34km to lunga lunga border of kenya.
3- water & electricity service is available in the place.
4- the plot is on a flat tableland and green a...
Viwanja vipo mita 800 kutoka barabara ya lami mwendo wa dakika 4 hadi 5 kufika kwenye mradi.
Mradi upo nyuma ya chuo cha afya kigamboni city collage of health and science pia vipo tambarale
Kiwanja kikubwa kinauzwa kipo pembeni na hospital ya benjamin mkapa dodoma udom ndani ya kijiji cha ng'ong'onha, kinakaribia nusu hekari, tayari kimepimwa, pia kimezungukwa na makazi ya watu. wahi ujipatie mape eema
Kiwanja ni namba 17 block b mapinduzi, makulu - dodoma mjini, huduma za umeme na maji zipo. ni sehemu iliyojengeka kisasa sana pia kina hati kubwa ( 99 yrs )
Plot with unfinished house for sale
location: goba round about
opposite Castle Hill school
Developed Neighbourhood
well planned.
zone/street: goba main road
area size: 800 square meters
available documents: title deed
Viwanja vinauzwa,kibaha kwa mathias.ukubwa 30 kwa40 milioni 4 ukubwa wa 20 kwa 30 milioni mbili na nusu,ukubwa wa 20 kwa 20 milioni mbili .umbali km 4 toka morogoro road076*********
Viwanja vinauzwa,kibaha kwa mathias.ukubwa 30 kwa40 milioni 4 ukubwa wa 20 kwa 30 milioni mbili na nusu,ukubwa wa 20 kwa 20 milioni mbili .umbali km 4 toka morogoro road076*********