Are you thinking of constructing a house for yourself? Or maybe you intend to found a business such as an office or farm? In both cases, you will need to search long to find convenient and at the same time affordable land and plots for sale in Nigeria unless you know the exact place to address to. And this is undeniably Jiji.ng! There are thousands of various offers from private sellers worth your attention. Find any land type starting with a residential land and ending with a commercial one including anything in between on Jiji.ng! There are over three thousand offers in Lagos only let alone other states! And if you find the price is above your solvency, there is always a chance to negotiate! All the advertisers are private sellers and are sure to go to a compromise for you both to benefit. So, regardless the fact you plan buy or sell a land in Nigeria, Jiji.ng will become the only safe, fast and profitable means to do it. Entrust the service and find your trust highly appreciated!
*miliki kiwanja cha sqm 875 kwa laki 9 tu*
kiwanja kimepimwa na kina deni la halmashauri ya dodoma ambayo unalipa kdg kdg
kiwanja kipo mtumba zone 3
call
Plot for sale Bahari beach kunduchi space contain sqm 2400 with Clean Title Dedee Available, near main road Good location and safe neighborhood if interested contact me
Kigamboni cheka project.
mfano 👇
🏝kiwanja cha ukubwa wa mita 20 kwa 20 .
miundombinu:
🛣 barabara inapitika vizuri mpaka site.
💦 maji yapo karibu na site.
🎇 umeme upo karibu na site.
🏝eneo ni tambarare halikai maji.
🏝 eneo lim...
Viwanja 25 vyenye ukubwa wa sqm 500 vimeungana vinauzwa vyote kila kimoja7.5m vina hati vyote. vipo luchelele mwanzoni kabla ya shule yamsingi viko barabarani, unaweza kununua vyote au kimoja, pia buhongwa maliza vipo viwanja...
Viwanja tambalale vipo km kutoka barabara kuu viwanja vipo kisemvule mwisho vina ukubwa wa sqm 400 viwanja vimezungukwa na makazi ya watu huduma za kijamii zote zinapatikana
Shamba lipo kiromo shule bagamoyo,umbali kutoka barabarani ni kilometa 6 mpaka 7,
shamba ni safi limesafishwa
shamba ni milion 5 kwa heka,bei maelewano
kuna makazi ya watu karibu
piga simu au
Viwanja vinauzwa mwanza nyashishi
viwanja vipo nyanza road
vimepimwa ☑
umbali ni km 1 kutoka barabara kuu na nyashishi center
barabara inafika hadi kwenye viwanja
Nauza viwanja chanika- ilala -dsm
vipo barabarani, nusu kilometer kutoka stand mpya ya chanika.
umeme upo hapo hapo site
maji yapo
vipo katikati ya makazi ya watu.
vinapatikana kwa bei nafuu sana kulingana na ukubwa wa eneo u...
The land space is free of any encumbrance and is in a settled location near dar free market. it is suitable for residential use, commercial use as well as industrial use. all social services can be found nearby hence habitabl...
Viwanja vipo tambalale
ukubwa wa kiwanja mita 15*15
viwanja vina documents yamauziyano yaserekali yamtaa
umbali kutoka stend ya mvuti km 1
wahi sasa mdau wangu ujipatie kiwanja kwa bei poa kabisa
wote mnakaribishwa
Kiwanja chenye ukubwa na kina msingi wa nyumba ya vyumba 3 kipo tegeta sala sala na mazingira yake ni rafiki kwa makazi na mji upo safi huduma zote za kijamii zinapatikana bei
Mradi mpya!!!
Buyuni beach plot.
-ni mradi mzuri na wa kuvutia sana.
-mradi upo buyuni beach.
-umbali ni 45km toka kigamboni ferry.
-huduma zote za kijamii zinapatikana.
-viwanja vimepimwa kuanzia square meter 400 na kuendele...
Mradi mpya!
gezaulole beach plot.
-ni mradi mzuri na wa kuvutia sana.
-mradi upo gezaulole.
-umbali ni 15km toka kigamboni ferry.
-huduma zote za kijamii zinapatikana.
-viwanja vimepimwa na vina beacons.
-eneo lake ni zuri na...
Viwanja vyenye hati miliki vinauzwa kwa bei ya tsh 4mil kwa kila kimoja .
viwanja vinapatikana katika wilaya ya ilala eneo la mbondole.
viwanja vina ukubwa wa futi 40 kwa 50.
kwenye viwanja huduma zote za kijamii zinapatikan...
new project kigamboni buyuni(beach plot)
-viwanja vyote vimepimwa & vina hati kianzia 400sqm(meter/miguu 20*20) na kuendelea.
-54km kutoka feri hadi mradi ulipo,14km kutoka barabara kuu ya lami.
-malipo yanafanyika kwa full p...
Kiwanja hiki kimepimwa, mawe yasha wekwa, hati ndio zitatolewa mwaka huu.
Kina ukubwa wa 500sqm(angalia picha zilizo ambatanishwa na tangazo hili kukiona vizuri)
maji bomba kubwa la mtaa liko mita 30 tu kutoka site ilipo mtaa...
Mradi mpya
-kigamboni-cheka
-mradi upo karibu na shule ya daarul arqam schools.
🚶♂umbali ni 1km kutoka main road.
📏viwanja vimepimwa.
-bei ni tshs 14,000 kwa square meter moja ambapo kwa square meter 270 ni 3,780,000.
-bei y...
Habari! Tunakutangazia kuwa, tuna viwanja ,vinauzwa. Vimepimwa.✓ vipo nguvu kazi, kata ya kihonda manispaa ya morogoro. Ni ukubwa wa sqm.800 (20 kwa 40).✓ kutoka dodoma road ni km 1. ✓jirani na hospital ya wilaya .✓umeme upo...