*Shamba la Ekari 150 linauzwa Oljoro Simanjiro- Manyara*
*Distance* Kutoka Mbauda mpaka shambani ni kilometer 38 na Kutoka barabara ya kuelekea Dodoma inayojengwa kwa sasa ni kilometre mbili mpaka shambani.
-Shamba linalimwa kila mwaka ni safi na tambarare linakubali mazao mengi kama Mahindi, Maharage Ngwara inakubali sana, Alizeti na Choroko.
-Kuna trekta shambani mwaka jana walivuna Ngwara gunia 1200 wakauza Kenya.
-Wasomali wengi wamenunua wanalima
Pia unaweza kuchimba maji mita 100 tu na ukamwagilia kutumia umeme unapita hapo
-Shamba lina maji ya bomba idara ya maji, umeme umepita shambani.
-Document: Hati ya Kimila...
*Bei ni shilingi milioni 1.8 maongezi yapo*