*viwanja... viwanja... viwanja vizuri sana vinauzwa madale (mbopo road)*
_ *bei ni elfu 42 tu 42,000 kwa kila sqm 1*
_ *ukubwa ni kuanzia sqm 1000 kwenda juu*
_ umbali wa km 1.7 kutoka madale mwisho center
_ boda ni 1000 tu mpaka viwanjani
_ viwanja vimebaki 8 tu
_ eneo limepimwa na kurasimishwa kwa ajili ya makazi na biashara
_ viwanja viko meter 50 tu kutoka barabara kuu ya madale to mbopo inayopigwa lami
_ *umeme na maji vipo site hapohapo*
_ eneo ni potential kwa makazi binafsi, apartments za wapangaji, nyumba ya wageni, frame za biashara, ukumbi wa sherehe nk...
*survey charge ni elfu 30*
*naongea na mmiliki*