Inauzwa: kitalu cha madini ya dhahabu – bahi, dodoma
fursa nzuri ya uwekezaji kwenye madini ya dhahabu!
inauzwa primary mining licence (pml06283dom) yenye haki ya kufanya utafiti na uchimbaji wa dhahabu (gold) katika eneo la mpalanga, wilaya ya bahi, mkoa wa dodoma.
maelezo muhimu ya kitalu
aina ya leseni: primary mining licence (pml)
namba ya leseni: pml06283dom
madini: dhahabu (gold)
eneo: mpalanga, bahi district, dodoma
ukubwa wa eneo: takribani hekta 9.94
uhalali wa leseni: miaka 7 kuanzia tarehe ya kutolewa
leseni imetolewa mwaka: 2026
eneo limeainishwa rasmi kwa coordinates za kijiografia zilizo kwenye leseni
fursa kwa wawekezaji
kitalu hiki kinaweza kuwa fursa nzuri kwa:
wawekezaji wa ndani na nje ya nchi
kampuni za uchimbaji wa madini
watu wanaotafuta eneo la kuendeleza mradi ...