*Eneo kwa ajili ya utalii linauzwa Ziwa Burunge B-Tarangire*
*Distance* Ni Kilometa 7 kutoka lami ya Babati-Arusha
-Eneo lipo Kijiji cha Mwada tarafa ya Mbugwe Wilaya Babati mkoa wa Manyara
-Eneo liko Kitongoji cha Burunge B Kijiji cha Mwada kata Mwada, tarafa ya Mbugwe Wilaya ya Babati lipo karibu za Ziwa lenye Flamingo aina mbili Great na Less wametofautiana midomo
*Plot size Hekari 24*
-Eneo limepimwa kwa kienyeji
-Eneo linafaa kwa utalii ndani yake wanapita wanyama ambao ni *Zebra, Impalas, Nyumbu, Elephants, Digidigi na wengine wengi*
*Bei kwa kila Hekari Tshs Milioni 6*