Shamba linauzwa Dundani wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani.
Shamba lipo umbali wa kilometa moja kutoka Barabara kuu ya lami itokayo Dar es Salaam kuelekea mkuranga.Na lipo umbali wa kilometa 39 kutoka Dar es Salaam hadi shamba lilipo.
Shamba lina ukubwa wa hekari 11,
(44000 square meter)
Shamba lina nyumba moja,visima vitatu vya maji, pamoja na mazao mbali mbali.shamba loote lipo ndani ya fens.
Bei yake shilingi milioni 370
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu