Plot hii inauzwa
Ni almos sqm 180- 200
Kwa makadirio
Unaweza ukajenga chumba sebule chemba sebule za wapangaji au nyumba ya room mbili
Eneo lipo ukonga mombasa karibu na bar ya uefa dk moja upo lami
Bei 370000 maongezi kidogo sana
Karibu nipigie078XXXXXXX