Shamba sasa limeshuka bei,kutoka milioni 550 bei ya awali hadi shilingi milioni 400,hii yoote kutokana na kuhitajika pesa ya chapchap.
Shamba lipo Tambani kisiwani,mbele kidoogo tu mbagala mbande.Lipo kwenye barabara itokayo mbagala mbande inayoelekea mwanambaya kupitia Tambani.
Lakini pia unaweza kupitia vikindu kisemvule hadi mwanambaya, halafu ndio urudi kulia kufuata barabara inayenda mbagala mbande Tambani.
Shamba lina ukubwa wa hekari 29
Shamba limepimwa lina hati miliki.
Karibu uje utembelee saiti.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu