Hapa pana viwanja 2, kimoja kina sqm1,117 na kingine ni sqm 903, viwanja hivi vimepimwa bado hati tu na vipo sehemu tambarale kabisa... Kutoka morogoro road ni km 2 na barabara yake mpaka kwenye kiwanja inapitika nyakati zote... Maji (DAWASA) na umeme vyote vipo, Karibu sana maongezi kidogo yapo