Shamba linauzwa soga mkoa wa pwani, unaingilia kibaha kongowe. ni kilomita 13 toka morogoro road. shamba liko karibu na station ya sgr na pia karibu na kiwanda cha kusindika nyama
loc :soga, mkoa wa pwani
area :ekari 5
price : mil 65
umiliki :mkataba wa serikali ya mtaa
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
sifa:-
-kuna visima viwili vinatoa maji
-nyumba ya vyumba viwili, sebule na choo
ndani
-mabanda ya ngutuwe na mabanda ya
ng'ombe
-miembe na migomba yenye kuzaa matunda
-umeme upo haujavutwa, kwa sasa kuna umeme wa solar
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link: (mdx)