*mgodi wa madini ya tanzanite unauzwa mererani, manyara
-location: mererani block d, simanjiro district
-ukubwa wa eneo: 2 acres
-Eneo Tayari limechimbwa meter 150
-eneo lina kibali halali cha uchimbaji madini( primary mining licence) kutoka serikali ya tanzania kupitia ministry of minerals( mining commission)
-kimeainishwa chini ya the mining act, cap. 123
-namba ya leseni(licence number) - PML00538SMN
-kibali kiko valid kwa miaka 7. kimeidhinishwa awali 5/9/2022 na kitaexpire 5/9/2029.
-nb: hakuna migogoro yoyote juu ya eneo hilo. kwenda kuliona eneo ni muda wowote kuanzia wakati huu, lakini gharama zote zitakazo husiana na chakula, makazi na usafiri kutoka (dar - manyara) na kurudi (manyara - dar) pamoja na siku zote ambazo tutakuwa hapo zitakuwa chini ya mnunuzi wa eneo.
, fixed price.