Shamba ni ekari 10, lipo kijiji cha Donyo muruak linafaa kwa kilimo cha parachichi, alizeti, maharagwe, mahindi nk pia unaweza kujenga taasisi km Chuo, Sekondari, shule ya Bweni nk Mahali lilipo shamba ni km 3 kutoka Mji wa Lawate kuelekea kusini kutoka barabara ya Boma ng'ombe kwenda Sanya juu.
mawasiliano zaidi unaweza pata toka kwa Mwenyekiti wa kijiji Bw Saningo