ENEO LA ZIWANI/ BEACH PLOT FARM.
Eneo la ziwani linauzwa, lipo nasa ginnery busega simiyu, umbali wa kilometa 95 kutoka Mwanza mjini, umbali wa kilometa 2.5 kutoka barabara ya rami ya kwenda Musoma, umbali wa kilometa 1 kutoka ofisi za wilaya ya Busega.
Eneo lina ukubwa wa zaidi ya heka zaidi ya 10, kuna mabwawa ya samaki 6 yenye ukubwa wa 15 meters * 30 meter, lina aridhi nzuri ya kulima mazao yote. kujenga beach au hotel au camp ya watalii.
Pia eneo lipo mita 500 kutoka mwalo mkubwa wa boti za uvuvi wilayani Busega.