*Shamba la Ekari 3182 linauzwa Njombe*
*Location* Shamba liko Mkoa wa Njombe, Wilaya ya Njombe vijijini, Tarafa ya Lupembe
*Distance* Kutoka barabara kuu ya kwenda Songea mpaka shambani ni 120 KM
-Ndani maji yapo (kuna mito mitatu na mabwawa 2) gari inafika hadi shambani.
-Shamba kuna sehemu imelimwa Miti, Matunda, Parachichi na Mabwawa ya Samaki.
-Ekari 3182 zote ni Tambarare
-Document; Title deed
*Bei ya kuuza kwa kila Ekari ni Tzs. 600,000/=