*Shamba la Ekari 200 la Parachichi linauzwa mkoani Njombe.*
*Distance* Shamba lipo mita 500 kutoka lami.
-Shamba lina mifumo mizuri ya umwagiliaji vyanzo vya maji vipo.
-Mavuno na mauzo yake kwa mwaka ni zaidi ya Tshs. 450+ millioni.
-Document; Title Deed
*Kila ekari ni shilingi milioni 20, jumla shamba linauzwa Bilioni 4*