Eneo linauzwa
location:mkuranga( pwani).
eneo linafaa kwa; apartment, yard , godown,kuishi au uwekezaji wa aina yeyote.
umbali kutoka barabara kuu ni: 1.5kms
sifa za eneo:-
eneo lina upimaji wa awali tu( hati bado haijatoka)
ukubwa sqm 5,000 (yaani hekari moja na kidogo).
eneo lote lina uzio (fence) ukuta mrefu kozi kumi na mbili(12) na taa za ukutani zipo.
umeme upo
kisima cha maji wame drill na wachimbaji ni dawasa ubungo (urefu mita 80 kina maji mengi na ni ya baridi.
kuna chumba na choo kwaajili ya mlinzi (selvant court).
usalama upo wa kutosha