Kipindi hiki cha MVUA kubwa njoo nikupeleke kwenye viwanja hivi
Hutojutia fedha yako, hakuna makorongo, maji hayatuami, ardhi nzuri,
Barabara zinapitika kwa magari aina zote.
Viwanja vipo mkundi sheli manispaa ya MOROGORO.
Maji yapo, umeme upo, ukinunua kiwanja tunakupa na fomu ya maji hapo hapo,
Viwanja vimepimwa kwa ukubwa tofauti tofauti na bei tofauti.