Water Supply, Car Parking, Rain Water Drainage, Electric Supply, Domestic Sewage, Gas Supply
Facilities
Shamba la heka 1,000 linauzwa Morogoro eneo la Mkonowamala Kingolwira kilomita 25 kutoka main road ya Morogoro Dar title deed safi barabara inapitika nyakati zote za mwaka ni jirani ya mto Ngerengere kuna nyumba za wafanyakazi kisima cha maji pamoja na josho la kuoshea mifugo bei Tsh 1.5 milion maongezi kwa mwenyewe,