Viwanja vimepimwa, vipo mkundi Kiegea A, manispaa ya e,
Vipo kuanzia sqm 1000 ( upana 25 na urefu 40) umeme upo karibu, maji ndio wanapitisha mabomba, ni karibu na shule ya msingi kiegea, shule ni ya serikali.
Pamejengeka sana,
Bei milion 6.5.
Pia kwa mahitaji ya viwanja vilivyopimwa tu kwa maeneo ya MJINI CITY CENTER, KIHONDA, MKUNDI, NANENANE, MAKUNGANYA, wasiliana nasi