Viwanja vikubwa karibu na barabara kuu ya lami,
Vipo mita 500 kutoka lami ya MOROGORO to Dodoma
Vinaangalia barabara kuu ya mita 30,, vipo mkundi sheli
Vimezungukwa na huduma zote, umeme, hospital, shule level zote,
Ni vikubwa kuanzia sqm 2519 kuendelea.
Waweza jenga shule kwa kuunganisha viwanja, apartments na frem mbele , pia ni vizuri kwa kuishi,
Bei ya sqm moja ni elf 9 tu