Electric Supply, Rain Water Drainage, Water Supply, Domestic Sewage, Gas Supply, Car Parking
Facilities
300000
Agent Fee
IHili shamba lina heka 100... lipo Mikese kilometa 9 kutoka barabara kuu. Lina vitu vifuatavyo;
1. Lina miti ya mitiki heka 10
2. Minazi heka 5
3. Michungwa heka 5
4. Lina mto mdogo unapita na una maji yasiyokauka mwaka mzima
5. Ipo migomba kadhaa
6. Una sehemu yenye mazingira mazuri kwaajili ya kutengeneza bustani.
7. 50% ya shamba limesafishwa kwa maana ya kutolewa visiki
8. Kuna nyumba 4 kwaajili ya wafanyakazi
9. Hati miliki ya shamba ipo katika hatua za mwisho
10. Bei Tsh 900,000 kwa kila heka.