1.Eneo linapatikana mkoa wa Pwani,wilaya ya kibaha mji mdogo-Mlandizi kata ya kikongo kijiji cha kikongo 2.Eneo lina umbali wa km 8 toka mlandizi mjini,barabara iendayo Mzenga kupitia viwandani. 3.Eneo lina ukubwa wa sqm 16,000 ,sawa na heka 4.Hii ni kwa mujibu wa H.H.G.P.S( Hand Held Global Positioning System) Vilivyofanywa na afisa ardhi wa Kibaha.Eneo ni tambarare na udongo wake ni kichanga sio mfinyanzi. 4.Eneo linafaa kwa Makazi,kilimo na ufugaji pia kwa matumizi ya kiwanda,shule ,hospital kanisa ua uwekezaji wa aina yoyote. 5.Eneo linauzwa Tsh.milioni themanini tu.(80,000,000) Hii ni sawa na 5000 kwa kila sqm moja. Linauzwa shamba lote haliuzwi kwa vipande vipande. 6.Eneo halina muingiliano wa kimipaka na hakuna mgogoro wa kifamilia (mke na watoto) Kwa mawasiliano piga068XXXXXXX