Mkolani jirani na ofisi ya mkuu wa wilaya na ofisi za nida viwanja vinne vinauzwa
ukubwa wa viwanja ni
1.kiwanja namba 740, ukubwa ni 926 sqm
2.kiwanja namba 746, ukubwa ni 933 sqm
3.kiwanja namba 747, ukubwa ni 884 sqm
4.kiwanja namba 748, ukubwa ni 840 sqm
kila kiwanja kina hati miliki yake mkononi
maongezi yapo
ruksa kununua kiwanja kimoja au vyote vinne
matumizi ni makazi na biashara
panafaa kwa kujenga taasisi, apartment, lodge, fremu za biashara n.k
mita chache kutoka barabara ya lami ( shinyanga road )
kwa maelezo zaidi wasiliana nasi
call/sms/whatsapp