Water Supply, Domestic Sewage, Electric Supply, Rain Water Drainage, Car Parking, Gas Supply
Facilities
Ukubwa wa shamba ni
Acre 51000
shamba lina Title deed
Huduma zote zipo maji umeme barabara safi kila kona ya shamba
___________________________
Matumizi ya shamba unaweza kufanya shughuli zifuatazo
1:Linafaa kilimo cha kumwagilia msimu mzima kiangazi vuli na masika maji yapo mda wote
2:Unaweza kujenga camp kubwa za kitalii kwa sababu Eneo lipo karibu na Mikumi
3: Shamba Limetazama barabara ya Iringa Morogoro kuna zaidi ya acre 6000 zimetazama barabara kubwa
4:Eneo linafaa Maviwanda mahoteli & Camp makubwa kwa sababu Umeme Mkubwa maji baraba safi mpaka site
____________________________
Mahitaji kukata zinazo anza kukatwa:
Title deed (Hati )
1:Tunakata kuazia Acre 500
unapata Title deed
Galama kwa Acre ni 500000 tu
Acre 500× 500000=Million 250
Mazungumzo yapo kwa anayehitaji na kufika site mazungumzo hayazunzwi kwenye simu ni shamba
2:Acre 1000
Bei milion 500
(Title deed )
3:Acre 2000
Bilion 1:
Title deed zipo
4:Acre 5000
Bei Bilion 2.5
site kila siku tunaenda Morogoro