Eneo linauzwa ,Manga kabla ya kufika mkata,lipo pembeni ya barabara ya lami ya Tanga/Arusha.
Ukubwa wa eneo lote ni ekari 8.
Bei kwa lote Ni milioni 16.
Eneo Lina minazi,mikorosho na miembe
Umeme epita pembeni ya eneo.
Linafaa kuweka kituoa Cha mafuta,hotel,yard ,kiwanda n.k