Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 500,000/= x 6
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa vya kulala chumba kimojawapo ni master bedroom
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#public toilet
#zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa
#parking kubwa
#luku na mita ya maji inajitegemea
#bei ni 500,000/= x 6
apartment hii ipo #mbezi_kwa_msuguri upande wa kushoto kama unaenda mbezi
#kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1
#usafiri ni bajaji au bodaboda na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 3 upo kwenye nyumba
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja