- Viwanja viwili vinauzwa Mbezi Beach, Makonde. Vipo 300m tu kutoka barabara kuu. Kila kiwanja kina 416m2 na vina fence na gate.
-Kuna huduma zote muhimu kama maji, umeme, barabara, shule na hospitali. Nzuri kwa makazi na uwekezaji.
-Viwanja vina hati, na bei ni ya maelewano km una budget pungufu ya hapo.
-Wasiliana nasi: kwa viewing na maelezo zaidi.
-It is an exclusive opportunity for investors but also suitable for luxury residential development!