Shamba linauzwa mbagala mbande mipeko wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Shamba lina ukubwa wa hekari 9,
Square meter 36,000
Shamba lipo lipo eneo zuuri sana, tunaweza kuita shamba la mjini.Umeme upo,maji yapo.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu