Kupanga ni kuchagua, ukihitaji kufuga majani yapo ya kutosha, ukihitaji kulima mihogo, mqhindi, maembe, minazi, mananasi, miti ya mbao, n. k
chaguzi ni lako, mashamba haya yapo kisarawe mji wa masaki, mita mia tatu kutoka bafabarani yanafaa kwa shughul za kilimo na ufugajj, ni kwa shilingi laki tano unajipati a shamba lako lenye kuanzia ukubwa wa ekari moja.
.
angalizo:mashamba haya sio ya kampuni na hayana udalali