Ni viwanja vizuri kwa makazi. Viwanja vipo km4 toka Maghorofa ya dege.
Viwanja vimeshapimwa tayari kupata hati.
Lipia kidogo kidogo mpaka unamaliza.
Kutembelea site ni kila siku na hakuna kuchajiwa.
Viwanja bei Vinaanzia million 5 Vipo vya ukubwa mbalimbali. Tuna miradi mingine ya viwanja maeneo ya Cheka Kigamboni, Mwongozo,Pangani Kibaha, Misugusugu Kibaha,Bunju Mji mpya,Madale, Goba, Vikawe Kimele Baobab, Vikawe Mpiji, Vigwaza... Dodoma tuna viwanja maeneo ya Chamwino Ikulu,Mtumba, Vikonje B kwa mzungu, Kitelela,Mahoma Makulu, Chidachi, Iyumbu, Ihumwa, Nala Ringroad, Nala Chihoni.
Ofisi zetu Dar es Salaam zipo nyuma ya Ubungo plaza na Dodoma tupo Capital City Mall.
Karibu umiliki kiwanja chako sasa.