Ni Property Investors Company (PIC) inauza Viwanja Vilivyopimwa eneo la Pangani Kibaha vina sifa zifuatazo:
Viwanja vipo Km4 kutoka Morogoro road
Vipo km1.5 toka Barabara inayounganisha Bagamoyo na Kibaha
Vimebaki Vinne vyenye square meter 458,425,594,629.
Unaweza kulipa cash au Kwa awamu
Viwanja vyote vimeshapimwa tayari
Viwanja vipo karibu na Machinjio ya nyama ya Kibaha
Huduma zote za kijamii zimeshafika na Barabara ni nzuri inapitika
Unataka kwenda site? Wasiliana nasi tunaenda kila siku
Ama unaweza fika kwenye ofisi zetu zilizopo nyuma ya Ubungo plaza, Katambe Street opposite na kanisa la Anglikana.
Tuna Miradi mingine ya Viwanja Vilivyopo Vikawe Mpiji,Vikawe Kimele Baobab,Kerege, Misugusugu Kibaha, Vigwaza Kwala Mlandizi, Bunju, Goba, Madale Mivumoni, Mbutu Kigamboni, Cheka Kigamboni, Mwongozo Kigamboni.Dodoma tuna Viwanja maeneo ya Ihumwa, Chahwa, Vikonje B Kwa Mzungu, Chidachi, Mahoma Makulu, Nala Chihoni, Nala Ringroad, Kitelela, Chamwino, Mtumba.