Viwanja vipo km1.5 kutoka ilipo rami inayoenda Vikawe.
Vipo karibu na Barabara inayounganisha Vikawe na Kibaha.
Viwanja vimepimwa tayari kwa hati.
Ni eneo linalofaa kwa makazi na biashara.
Umeme maji tayari vimeshafika site.
Unaweza lipia cash au kwa mkopo wa mpaka miezi 12.
Viwanja bei Vinaanzia million 5.
Vipo vya ukubwa mbalimbali kuanzia SQM 345 mpaka 818.
Kwenda site ni kila siku hakuna gharama.
Tuna Miradi mingine ya Viwanja maeneo ya Misugusugu Kibaha, Vigwaza, Mbutu Kigamboni,Mwasonga, Mwongozo,Cheka, Vikawe Mpiji, Vikawe Kimele Baobab, Bunju, Madale Mivumoni.