Property Investors Company (PIC) imekuletea ewe Mtanzania Viwanja vya Makazi na Biashara vilivyopimwa eneo la Kibaha Pangani vyenye sifa zifuatazo:
Viwanja vipo karibu na mnada wa Loliondo.
Vipo nyuma ya stand ya Maili moja.
Vipo Km4 kutoka Morogoro road.
Vipo km 1.5 kutoka Barabara inayounganisha Vikawe na Kibaha
Bei Vinaanzia million 5
Malipo ni cash au Kwa awamu na vipo vya ukubwa mbali mbali
Tuna miradi mingine ya Viwanja maeneo ya Misugusugu Kibaha, Vigwaza, Vikawe Kimele Baobab, Vikawe Mpiji,Goba, Madale Mivumoni,Mbutu Kigamboni, Cheka Kigamboni, Mwongozo Kigamboni,... Tuna Viwanja Dodoma maeneo ya Chamwino Ikulu,Mtumba, Mahoma Makulu, Nala Chihoni, Nala Ringroad, Kitelela, Chahwa, Ihumwa, Vikonje B.
Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza,Katambe Street opposite na kanisa la KKKT