Viwanja Vinauzwa na Property Investors Company (PIC) eneo la Pangani Kibaha vina sifa zifuatazo:
Viwanja vipo Km4 toka Morogoro road na Maili moja stand.
Vipo km1.5 toka njia iendayo Vikawe inayounganisha Bagamoyo na Kibaha.
Viwanja vipo karibu na Machinjio ya nyama ya Kibaha.
Bei Vinaanzia million 5
Viwanja vimeshapimwa tayari kupata Hati
Viwanja hivi ni Kwa Makazi na Biashara.
Malipo ni cash au Kwa awamu.
Vipo Viwanja vya ukubwa mbali mbali
Site visit ni kila siku hakuna gharama.
Tuna Miradi mingine ya Viwanja maeneo ya Misugusugu Kibaha, Vigwaza Kwala Mlandizi, Bunju, Goba,Kerege,Vikawe Kimele Baobab,Vikawe Mpiji, Madale Mivumoni,Mbutu Kigamboni, Cheka Kigamboni, Mwongozo Kigamboni... Dodoma maeneo ya Ihumwa, Chahwa, Vikonje B Kwa Mzungu, Chidachi, Mahoma Makulu, Nala Chihoni, Nala Ringroad, Kitelela, Chamwino, Mtumba, Mtumba.
Fika ofisini kwetu zilizopo nyuma ya Ubungo plaza, Katambe Street opposite na kanisa la Anglikana