Property Investors Company inauza Viwanja eneo la Pangani Kibaha kwa bei ya offer msimu huu wa Sikukuu, Viwanja vina sifa zifuatazo:
Viwanja vizuri kwa makazi na biashara.
Vipo km1.5 toka Barabara ya lami iendayo vikawe.
Vipo karibu na mnada wa mbuzi wa Loliondo.
Bei Vinaanzia million 5
Viwanja vimeshapimwa tayari kwa hati.
Site tunaenda kila siku hamna charge.
Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza.
Tuna Viwanja vingine maeneo ya Misugusugu Kibaha, Vigwaza, Vikawe Kimele Baobab, Vikawe Mpiji,Goba Kulangwa, Bunju mji mpya,Madale Mivumoni, Mbutu Kigamboni, Mwasonga Kigamboni, Cheka Kigamboni.
Wahi sasa offer hii