Ni viwanja vizuri kwa makazi.
Vinauzwa na kampuni ya Property Investors Company (PIC).
Vipo Misugusugu Checkpoint,km2 toka Morogoro road.
Viwanja vipo sehemu nzuri,huduma zote za kijamii zimeshafika.
Huhitaji kuwa na cash kwani unaweza lipia kwa awamu kidogo.
Tunauza viwanja vilivyokwishapimwa tayari,hati unapata ukishamaliza malipo.
Vipo Viwanja vya ukubwa mbali mbali,ni wewe na hitaji lako tu.
Kwenda site ni bure hakuna gharama.
Kama unahitaji sehemu nyingine bas upo sehemu sahihi,tunavyo maeneo mengine kama Pangani Kibaha,Kerege, Vigwaza Kwala,Bunju, Madale Mivumoni,Goba,Mbutu Kigamboni, Cheka Kigamboni, Mwongozo Kigamboni, Mwasonga Kigamboni... Pia kwa Dodoma tuna Viwanja maeneo ya Chamwino, Mtumba, Mahoma Makulu, Nala, Itega, Kitelela, Chahwa Vikonje, Iyumbu, Ihumwa.