TUNAUZA VIWANJA VYA MAKAZI – MWANZA KISESA
Tunauza viwanja vizuri sana vya makazi vilivyopo Mwanza Kisesa.
Ukubwa: 20×20
Bei: Tsh 5,000,000 tu
Viwanja vina huduma zote za kijamii:
Maji
Umeme
Shule
Zahanati
Pia unaruhusiwa kuunganisha viwanja kulingana na uhitaji wako.
Unaruhusiwa kulipia kwa awamu kwa urahisi zaidi.
Karibu sana kwenye ofisi zetu tukuhudumie na upate kiwanja bora kwa ajili ya makazi yako ya ndoto.