Shamba ekari 10 linauzwa.
Location:Halmashauri ya chalinze, Lugoba(Kijiji cha Diozile kata ya Msoga wilaya ya Bagamoyo )
Umbali:Kwa gari au bodaboda ni dakika 8 kutoka barabara kuu ya Msata-Tanga-Kilimanjaro.
Maelezo:Eneo ni la mashamba,ufugaji,viwanda na uwekezaji (mfano kiwanda Cha Sayona kimewekezwa maeneo haya)
Kwa mawasiliano tuwasiliane:
dial or whatsapp