Viwanja vipo karibu na bandari kavu ya Kwala.
Vipo km6 kutoka Morogoro road. Bei yetu ni nafuu 4,500 kwa square meter moja.
Unaweza lipia cash au kwa awaamu.
Huduma za kijamii zimeshafika site. Site tunatembelea kila siku ya Jumatano , Jumamos na Jumapili hamna gharama.
Tuna viwanja maeneo mengine kama Pangani maili moja, Misugusugu Kibaha, Vikawe-Kimele Baobab, Mapinga Bagamoyo, Bunju Mji mpya, Kisota, Madale Mivumoni, Mbutu Kigamboni, Cheka Kigamboni... Dodoma pia tuna viwanja maeneo ya Chamwino Ikulu,Mtumba, Chahwa,Iyumbu, Nala Lugala,Nala Chihoni, Chidachi, Itega.