*shamba la ekari 60 linauzwa milioni 500 maongezi yapo lipo mwavi, bagamoyo* mkoa wa pwani
*distance* kilometre 2 tu kutoka barabara kubwa bagamoyo road
*location* shamba limeshika barabara ya mwavi kwenda viwandani inayowekwa lami
*shamba linauzwa na vitu vyote vilivyomo ndani ikiwemo mifugo*
shamba kuna ekari 1 imezungushiwa fence ambapo kuna mbuzi na kondoo 400 ng'ombe wakubwa 50 ndama 6 wapo wanao kamuliwa
kuna ghorofa ina vyumba v4 vya kulala, juu vyumba v2 na chini v2.
pia kuna nyumba ya wafanyakazi na mabanda ya mifugoa na mazizi mawili ya ng'ombe
ndani ya shamba kuna umeme maji safi dawasco
-plot size ekari 60
-document: survey (pamepimwa)
*bei shilingi milioni 500 maongezi yapo