*Shamba la Kilimo Ekari 200 linauzwa Gwata, Kisarawe*
Gwata, Kisarawe Kutoka Chalinze mpaka Shambani ni 17 km
Shamba lina Mto wa Msimu wakati wa mvua, shamba ni jipya halijawahi kulimwa Kuna miti ya asili
Shamba ni zuri tambarare
Shamba linafaa kwa matumizi ya Ufugaji na Kilimo
Plot size Ekari 200
Document: Title Deed
*Bei shilingi milioni 250 maongezi yapo*
Zain