Shamba linauzwa
loc : mkuranga kibululu
ukubwa : heka 4
bei : sasa imeshuka 18 mil
.
.
shamba lina miembe, michungwa, migomba midogo, minazi, korosho, limao, stafeli, mipapai, pia kuna kisima cha maji
umbali wa kama km 3 kutoka barabara kuu
_________________________________________
contacts
whatsap: bonyeza hapa>>
call
email:
instagram @excela_and_properties
fb joshua
______________________________________
kwa mahitaji ya nyumba/vyumba... maeneo ya biashara/ya kupanga au kununua/mashamba/viwanja... magar nk... usisite kuwasiliana nasi...