Inauzwa kiwanja Mkuranga, eka 3.5, km 1.5 kutoka Kilwa Road (Dar es Salaam). Kimezungushiwa uzio, umeme upo, kina njia rahisi ya kuingia. Kuna jengo kubwa ~1000 sqm lenye mlango wa malori, linafaa kwa ghala, kiwanda au biashara. Pia kuna banda, vyoo na bafu. Eneo lina nafasi kubwa kwa matumizi au ujenzi zaidi. Bei nzuri, tayari kwa biashara au uwekezaji. Piga simu au WhatsApp: