Electric Supply, Rain Water Drainage, Water Supply, Domestic Sewage, Gas Supply, Car Parking
Facilities
tabata kinyerezi
.sqm 700
umbali wa mita 600 tu kutoka bara bara ya lami
good neighborhood
huduma zote za jamii kama umeme na maji zimefika mpaka vilipo viwanja na tayari watu wameshaanza kujenga
bei ni 42,000,000 tu
aina ya malipo ni kwa mkupuo(cash) au kwa mkopo(installment) kwa awamu tatu tu
mteja anayelipa kidogokidogo atalazimika kuanza na asilimia 50% ya bei ya kiwanja
kwa maelezo zaidi fika katika office zetu zilizopo .
.
mandela road - varsani plaza - mkabara na studio za azam tv