New classic apartment ni zipo mtaa mzuri sana
apartment hizi mpya zina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master bedroom
#sebule kubwa
#jiko kubwa la kisasa
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#paving
#garden nzuri
#parking
bei ni 400k x 6
ilipwe laki 4 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hizi zipo kinyerezi shule na kutoka main road ya kinyerezi hadi kwenye nyumba ni km 1.5 usafiri ni bajaji sh 500 na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 2 upo kwenye nyumba na njia ni lami na rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba