Viwanja vinauzwa
chanika zingiziwa manispaa ya ilala jiji la dsm.
ukubwa wa viwanja vyetu 20x20. bei milioni mbili tu
maongezi yanafanyika baada ya kukagua viwanja.
viwanja vyetu vipo karibu sana huduma za kijamii km vile shule ,hospital, umeme, maji na barabara.
pia unaruhusiwa kulipa kwa awamu mbili mpaka tatu.