Shamba hekari saba linauzwa maeneo ya kibaha mlandizi. Kila hekari moja inauzwa shilingi milioni mbili. Shimba lipo umbali wa km 5 kutoka morogoro road.
Shamba lipo pembeni ya shule na linafaa kwa makazi, kilimo, ufugaji na viwanda.
Shamba lipo karibu na kiwanda cha nondo kiluwa.