tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Property
  3. Land & Plots for Sale
  4. Farmland for Sale
Dar es Salaam, Kinondoni
42 views

Shamba Kubwa Hekari 35 Linauzwa Na Mifugo.

+1
3
Farmland
Type
35 sqm
Square Metres
Mixed
Property Use
Car Parking, Electric Supply, Water Supply
Facilities
Store address
Dar es Salaam • Kinondoni
Tanzania Dare saalam
Shamba kubwa la Kilimo na ufugaji linauzwa kibahaa kilomita chache kutoka main road faida ya shamba ili linagusa mto Ruvu mto haukauki muda wote lina hati pia kuna wanyama mbali mbali(Zoo) ukubwa wa shamba Hekari 35.Kuna nyumba ya vyumba3 imekamilika kuna Godowns,Kuna umeme tayari waweza kufanya chochote kilimo na ufugaji lina leseni ya kufanya zoo miundo mbinu mizuri adi kwenye site limezungushia fensi ukilipenda lazima biashara ifanyike usiogope bei, pia tuna mashamba maeneo mengine apa Dar na zanzibar kwa maelezo zaidi nipigie nikupe maelezo.
TSh 700,000,000
Negotiable
5 Feedback view all
Safety tips
  • It's safer not to pay ahead for inspections
  • Ask friends or somebody you trust to accompany you for viewing
  • Look around the apartment to ensure it meets your expectations
  • Don't pay beforehand if they won't let you move in immediately
  • Verify that the account details belong to the right property owner before initiating payment