Shamba kubwa la Kilimo na ufugaji linauzwa kibahaa kilomita chache kutoka main road faida ya shamba ili linagusa mto Ruvu mto haukauki muda wote lina hati pia kuna wanyama mbali mbali(Zoo) ukubwa wa shamba Hekari 35.Kuna nyumba ya vyumba3 imekamilika kuna Godowns,Kuna umeme tayari waweza kufanya chochote kilimo na ufugaji lina leseni ya kufanya zoo miundo mbinu mizuri adi kwenye site limezungushia fensi ukilipenda lazima biashara ifanyike usiogope bei, pia tuna mashamba maeneo mengine apa Dar na zanzibar kwa maelezo zaidi nipigie nikupe maelezo.