Masharti:
>Unaweza kununua vyote vinne. Au viwiliviwili: 219/220; 221/222.
>Haviuzwi kimojakimoja.
>Bei ni net.
>Gharama zote ni zako(mikataba, transfer title na ongezeko la thamani (capital gains tax), n.k.
>Ilikuwa niuze SQM moja TSHS.70,000/= bei ya soko, Mabwe Pande, kama walivyouziwa karibuni, na pia ni bei za majirani.
>BEI: 55,000 kwa SQM
Nime-reserve TSHS.15,000/= kwa SQM gharama za mnunuzi.